ICON TV TZ
ICON TV TZ
  • Видео 8 745
  • Просмотров 24 654 660

Видео

🔴LIVE: BALAA MBOWE NA LEMA WAITEKA MANYARA TAZAMA MASHAMBULIZI HAYA MAZITO WALIYOYAFANYA MINJINGU
Просмотров 67120 часов назад
🔴LIVE: BALAA MBOWE NA LEMA WAITEKA MANYARA TAZAMA MASHAMBULIZI HAYA MAZITO WALIYOYAFANYA MINJINGU
WAFANYAKAZI YA MAPOKEZI WAONGOZA KUJICHUBUA KMC/TAFITI ZABAINI ASILIMIA 54 YA WANAWAKE WANAJICHUBUA
Просмотров 6522 часа назад
WAFANYAKAZI YA MAPOKEZI WAONGOZA KUJICHUBUA KMC/TAFITI ZABAINI ASILIMIA 54 YA WANAWAKE WANAJICHUBUA
MGOMO WAFANYABIASHARA KARIAKOO MWENYEKITI CHADEMA ALIYEKAMATWA NA POLISI AFUNGUKA BAADA YA KUACHIWA
Просмотров 27723 часа назад
Mara baada ya kukaa mahabusu kwa takribani siku moja,Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Njomnbe Rose Mayemba ameeleza sababu ya kukamatwa kwake ambapo amesema Polisi wamemuleza kuwa amefanya taharuki kwa kuandika taarifa za uongo kwenye mtandao wa kijamii wa X (Twitter) juu ya taarifa ambayo ilidaiwa kuwa ni ya wafanyabiashara kuhusu mgomo uliofanyika siku Jumatat...
BUNGE LATIKISIKA MGOMO WA WAFANYABIASHARA KARIAKOO,MBUNGE MSUKUMA AOMBA MUONGOZO
Просмотров 1182 часа назад
BUNGE LATIKISIKA MGOMO WA WAFANYABIASHARA KARIAKOO,MBUNGE MSUKUMA AOMBA MUONGOZO
BAADA YA WAFANYABIASHARA KUGOMA KARIAKOO WAVUVI MWANZA WAIBUKA NA JAMBO HILI MAZITO
Просмотров 3022 часа назад
BAADA YA WAFANYABIASHARA KUGOMA KARIAKOO WAVUVI MWANZA WAIBUKA NA JAMBO HILI MAZITO
"Serikali Inachua MIKOPO Ya KAUSHA DAMU,WAZIRI Wa FEDHA Anadanganya,BAJAETI Inawaua WATANZANIA"-Kiza
Просмотров 2742 часа назад
"Serikali Inachua MIKOPO Ya KAUSHA DAMU,WAZIRI Wa FEDHA Anadanganya,BAJAETI Inawaua WATANZANIA"-Kiza
DUUH!! HALI SIO SHWARI KARIAKOO,WAFANYABIASHARA WAGOMA KUFUNGUA MADUKA,RC CHALAMILA ATOA TAMKO ZITO
Просмотров 2712 часа назад
DUUH!! HALI SIO SHWARI KARIAKOO,WAFANYABIASHARA WAGOMA KUFUNGUA MADUKA,RC CHALAMILA ATOA TAMKO ZITO
TUKIO LA KUTISHA DEREVA WA MAROLI MTANZANIA ALIYETAKA KUULIWA NCHINI KONGO ASIMULIA MAZITO
Просмотров 2032 часа назад
TUKIO LA KUTISHA DEREVA WA MAROLI MTANZANIA ALIYETAKA KUULIWA NCHINI KONGO ASIMULIA MAZITO
HAWA NDIO WATAKAORITHI MIKOBA YA MAREHEMU MZEE MREMA/VIJANA WAJITOKEZA
Просмотров 614 часа назад
HAWA NDIO WATAKAORITHI MIKOBA YA MAREHEMU MZEE MREMA/VIJANA WAJITOKEZA
FAHAMU MAGONJWA HAYA TISHIO/MAMILIONI YA WATU HUFARIKI KILA MWAKA
Просмотров 164 часа назад
FAHAMU MAGONJWA HAYA TISHIO/MAMILIONI YA WATU HUFARIKI KILA MWAKA
DUUH!! KIGOGO ACT WAZALENDO AJILIPUA AMKOSOA VIKALI RAIS SAMIA/ASEMA NCHI INAOZWA KWA MIKOPO
Просмотров 3247 часов назад
DUUH!! KIGOGO ACT WAZALENDO AJILIPUA AMKOSOA VIKALI RAIS SAMIA/ASEMA NCHI INAOZWA KWA MIKOPO
TAZAMA OPERESHENI HII NZITO ILIYOFANYIKA LEO DAR ES SALAAM/MAAGIZO YA RAIS SAMIA YADAIWA KUPUUZWA
Просмотров 1,6 тыс.9 часов назад
TAZAMA OPERESHENI HII NZITO ILIYOFANYIKA LEO DAR ES SALAAM/MAAGIZO YA RAIS SAMIA YADAIWA KUPUUZWA
NI UPENDO TAZAMA DC KINONDONI ALIVYOTOA KADI ZA BIMA YA AFYA KWA WALEMAVU
Просмотров 669 часов назад
NI UPENDO TAZAMA DC KINONDONI ALIVYOTOA KADI ZA BIMA YA AFYA KWA WALEMAVU
SHEIKH KUNDECHA AJILIPUA AMWAMBIA MANENO HAYA MAZITO RAIS SAMIA/AMUOMBA ASIWASIKILIZE WANASIASA HAWA
Просмотров 1,2 тыс.9 часов назад
SHEIKH KUNDECHA AJILIPUA AMWAMBIA MANENO HAYA MAZITO RAIS SAMIA/AMUOMBA ASIWASIKILIZE WANASIASA HAWA
MASHEIKH WATOA TAMKO NZITO SAKATA LA DC UBUNGO KUWAKAMATA MAKAHABA SINZA NA KUVAMIA MADANGURO
Просмотров 1,8 тыс.9 часов назад
MASHEIKH WATOA TAMKO NZITO SAKATA LA DC UBUNGO KUWAKAMATA MAKAHABA SINZA NA KUVAMIA MADANGURO
TUHUMA NZITO ZINAZOMKABILI ASKOFU MWINGIRA/WAKILI WAKE ATOA UFAFANUZI HUU
Просмотров 8 тыс.12 часов назад
TUHUMA NZITO ZINAZOMKABILI ASKOFU MWINGIRA/WAKILI WAKE ATOA UFAFANUZI HUU
MSAKO MKALI WA WAGANGA WA KIENYEJI DSM'HAKUNA MGANGA ATAKAYENITISHA NITASHAFISHA WOTE"RC DSM
Просмотров 41912 часов назад
MSAKO MKALI WA WAGANGA WA KIENYEJI DSM'HAKUNA MGANGA ATAKAYENITISHA NITASHAFISHA WOTE"RC DSM
WADAIWA SUGU WA MAEGESHO YA MAGARI BINAFSI,DALADALA WAPEWA SIKU 5/BAADA YA HAPO SIJUII.......
Просмотров 13412 часов назад
WADAIWA SUGU WA MAEGESHO YA MAGARI BINAFSI,DALADALA WAPEWA SIKU 5/BAADA YA HAPO SIJUII.......
TAARIFA KUBWA KUHUSU UFUGAJI WA NYUKI/TAZAMA VIKUNDI VINAVYONEEMEKA
Просмотров 6612 часов назад
TAARIFA KUBWA KUHUSU UFUGAJI WA NYUKI/TAZAMA VIKUNDI VINAVYONEEMEKA
DUUH!! MUNGU NI MKUBWA JAMANI TAZAMA MAAJABU YA MTOTO MLEMAVU ANAYETUMIA KICHWA KUANDIKA
Просмотров 16712 часов назад
DUUH!! MUNGU NI MKUBWA JAMANI TAZAMA MAAJABU YA MTOTO MLEMAVU ANAYETUMIA KICHWA KUANDIKA
MKUU WA WILAYA AJITOA MUHANGA KUZUIA WIZI HUU MKUBWA UNAOFANYIKA/ATANGAZA OPERESHENI HII NZITO
Просмотров 32012 часов назад
MKUU WA WILAYA AJITOA MUHANGA KUZUIA WIZI HUU MKUBWA UNAOFANYIKA/ATANGAZA OPERESHENI HII NZITO
RC CHALAMILA AWALIPUA VIBAYA WANAOWATETEA MAKAHABA WALIOKAMATWA SINZA/ADAI WAMEJIDHALILISHA WENYEWE
Просмотров 36012 часов назад
RC CHALAMILA AWALIPUA VIBAYA WANAOWATETEA MAKAHABA WALIOKAMATWA SINZA/ADAI WAMEJIDHALILISHA WENYEWE
BAADA YA ALBINO KUULIWA BUKOBA WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO MAZITO KWA JESHI LA POLISI NA WAKUU WA MIKOA
Просмотров 18712 часов назад
BAADA YA ALBINO KUULIWA BUKOBA WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO MAZITO KWA JESHI LA POLISI NA WAKUU WA MIKOA
MANENO MAKALI ALIYOYATOA ESTER BULAYA YAMSTUA WAZIRI MWIGULU/HASHINDWA KUVUMILIA
Просмотров 20712 часов назад
MANENO MAKALI ALIYOYATOA ESTER BULAYA YAMSTUA WAZIRI MWIGULU/HASHINDWA KUVUMILIA
DUUH!! SHEIKH PONDA ASABABISHA HILI BALAA ZITO KIGOGO UPINZANI AMPOPOA VIBAYA "WANAPOTOSHA UMMA"
Просмотров 58414 часов назад
DUUH!! SHEIKH PONDA ASABABISHA HILI BALAA ZITO KIGOGO UPINZANI AMPOPOA VIBAYA "WANAPOTOSHA UMMA"
HALI YAZIDI KUWA MBAYA KWA MBUNGE MPINA/AWASHIWA MOTO HUU MZITO LEO
Просмотров 34314 часов назад
HALI YAZIDI KUWA MBAYA KWA MBUNGE MPINA/AWASHIWA MOTO HUU MZITO LEO
AIBU HII JAMANI NSSF YAWAONDOA WADAIWA SUGU KATIKA NYUMBA ZAO KIJICHI/TAZAMA VITU VILIVYOTOLEWA NJE
Просмотров 2,8 тыс.14 часов назад
AIBU HII JAMANI NSSF YAWAONDOA WADAIWA SUGU KATIKA NYUMBA ZAO KIJICHI/TAZAMA VITU VILIVYOTOLEWA NJE
VURUGU KUBWA!! MAFUNDI WATISHIA KUBOMOA MAJENGO HAYA YA SERIKALI/WASEMA WANAIDAI SERIKALI
Просмотров 1,4 тыс.16 часов назад
VURUGU KUBWA!! MAFUNDI WATISHIA KUBOMOA MAJENGO HAYA YA SERIKALI/WASEMA WANAIDAI SERIKALI
BAADA YA SHEIKH PONDA KUMKOSOA RAIS SAMIA SHEIKH MWENGINE ATOA HOTUBA HII NZITO KWENYE BARAZA LA EID
Просмотров 2,4 тыс.16 часов назад
BAADA YA SHEIKH PONDA KUMKOSOA RAIS SAMIA SHEIKH MWENGINE ATOA HOTUBA HII NZITO KWENYE BARAZA LA EID

Комментарии

  • @VolvoMwamakula-ci2we
    @VolvoMwamakula-ci2we Час назад

    Wanasiasa hawa viongozi wakuu wanayafanya haya yote kwa makusudi kabisa sio kwamba hawajui kuwa wananchi wao kuwa wanashida maisha ni magumu ila wao ndo wanatupangia tuishi kwa staili waipendayo wao

  • @RaymondKilomeye
    @RaymondKilomeye 3 часа назад

    Hapo ndo umezingua watz hawajafanya uchaguz kuchagua awamu ya sita yeye kakaimu awamu ya tano, ukiamua kuwa mkwel bac sema ukweli najua umepitia maswaibu mengi labda ndio yanayokunyongonyesha, mungu akutie nguvu ubaki nasimamo wako uc kubali kuyumbishwa hakika itabak alama co leo2 mpaka kesho

  • @MwanalimaAbdallahkea
    @MwanalimaAbdallahkea 3 часа назад

    Pole sana dadangu

  • @isackkivuyo1980
    @isackkivuyo1980 4 часа назад

    Lema ni sawa na mhubiri wa kidini anayejiira mtumishi kumbe tapeli

  • @isackkivuyo1980
    @isackkivuyo1980 4 часа назад

    Eti watu wanahali mbaya,ila familia zenu wana hali nzuri

  • @mohammedabdullah5895
    @mohammedabdullah5895 9 часов назад

    Yani waziri slaaa sina neno zaidi mungu akubariki nakuombea miaka 10000 kwa kutenda haki Huna zulma

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 4 часа назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba8053 11 часов назад

    Yaani hapo wakili unamtetea mteja wako awe ana kosa au hanakosa.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 4 часа назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @widimaelimushi
    @widimaelimushi 13 часов назад

    Nafikiri kwa Sasa wajinga wengi nikaribu wataelewa.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 4 часа назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @rashidiwilliam8469
    @rashidiwilliam8469 13 часов назад

    Mpaka nauli ya treni wameweka kama ya kwao

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 4 часа назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 14 часов назад

    Cheramila alikosea,tunamkumbuka Manji alitoa ajira kwa vijana wa tanzania alinunua mbaazi.jamani Charamila umekosea.

    • @raymondnlelwa427
      @raymondnlelwa427 4 часа назад

      Huyu si mtu wa kupasuka pasuka tu kama porpcorn, hafikiriagi anayoongea utafhani wafanyabiashara ni watoto wake

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 4 часа назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @johnmanonijohn5544
    @johnmanonijohn5544 15 часов назад

    Ujinga ni mtaji wa ccm

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 4 часа назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 15 часов назад

    BLESSED LEMA IS TALKIG TO MASS

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 4 часа назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @HangoPunje
    @HangoPunje 15 часов назад

    Tanzania inawatu waoga na ndio mana tunaliwa

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 4 часа назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 16 часов назад

    Huku kwetu.majitu yanalaana sana ni wachache wanaelewa

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 15 часов назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @YusufuMagembe
    @YusufuMagembe 17 часов назад

    Wahusika wamesikia

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 16 часов назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @panadomadola3064
    @panadomadola3064 19 часов назад

    Shekh Ponda kwa kweli hali ya maisha ya watu huku mtaani ni mbaya sana na ufisadi na rushwa ndivyo vilivyo shamiri kwa sasa

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 19 часов назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 20 часов назад

    Thubutu !!! Mbomoeni huyo aliyewaajiri!

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 19 часов назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @sumayasumaya6455
    @sumayasumaya6455 20 часов назад

    tulieni wananchi, Mbunge wenu anamshughulikia mpina bungen 😂😂😂😂

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 19 часов назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 21 час назад

    Ni aibu aibu! Sasa hivi bunge, Serikali hawako serious na mambo ya nchi. Ushahidi wote uliotolewa na Mpina wabunge wanaona sio serious issue kwao wanabwabwaja na kudharauliwa kwa Spika. Kwa kweli wabunge wamekula mpaka wamevimbiwa.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 20 часов назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @gelamuyombo6783
    @gelamuyombo6783 21 час назад

    Ponda hujakatazwa kulima ,usitegemee mimi nilime kwa gharama kisha serikali inipangie bei ndogo

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 20 часов назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @Georgelaurent-bf4rt
    @Georgelaurent-bf4rt 21 час назад

    Mh upo sawa mungu akubariki

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 21 час назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 День назад

    Kiukweli nchi inahitaji mtu mwenye kifua na mwenye ufahamu mpana,.Tuko hoi nchi hii.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 23 часа назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa День назад

    Uungwe mkono kwa taarifa hii inchi ni ya wote viongozi wengi hawana huruma na raia hasa inchi za kiafrika watakuja uliza na mungu tu wawo wanaishi kama wapopeponi wananchi kama wapojahanam tuhurumiane ndugu zangu wote watz

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 23 часа назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @hiarijuma2684
    @hiarijuma2684 День назад

    Sheikhe zungumza Uongozi wa MSAHAFU tu, usituzonge.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 23 часа назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-ot1ff7yq2l
    @user-ot1ff7yq2l День назад

    Mbon husikikii shehe

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 23 часа назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @jovitusiinnocent7534
    @jovitusiinnocent7534 День назад

    😂😂😂😂 kwanza watu walio hapo sijui ni 20 duh alafu viongozi wakubwa wa chama wote wapo 😂😂😂😂

  • @jovitusiinnocent7534
    @jovitusiinnocent7534 День назад

    Wewe acha ujinga hawamu ya 6 inapiga kazi kubwa San pia usiongee kuhusu makonda wewe Wana Arusha wanakuona kishaa

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ 23 часа назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @DdAs-ti5bo
    @DdAs-ti5bo День назад

    Mungu akuweke shekhr❤🎉

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @DdAs-ti5bo
    @DdAs-ti5bo День назад

    Mungu akuweke shekhr❤🎉

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @DdAs-ti5bo
    @DdAs-ti5bo День назад

    Mungu akuweke shekhr

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @DdAs-ti5bo
    @DdAs-ti5bo День назад

    Mungu akuweke shekhr

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @DdAs-ti5bo
    @DdAs-ti5bo День назад

    Mungu akuweke shekhr

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @charlesmtangi9046
    @charlesmtangi9046 День назад

    Tuko pamoja shekhe wangu Allah azidi kujuongoza amina

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @abdallahabdu8194
    @abdallahabdu8194 День назад

    Huyu jamaa kwa wanao kumbuka wakati anaongea na REPOA , Rais wa awamu 1 ya nchi hii JKN ,tunanukuu Kabila (Baba) asilipe madeni ya congo sababu hakukopa yeye ni mobutu , chuma kikaibuka swali sasa mbona mkapa analipa madeni na hatujui yalikuwa kwa ajili gani.? palikuwa hapatoshi ...........tafuta cd zipo.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 День назад

    Watanzania wapo fofo

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-no2ut7yd3e
    @user-no2ut7yd3e День назад

    Lema ukipewa ubunge utaweza?,Ccm miaka 40 tena.Hama huko na unaushawishi wa matusi kwa jamii.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @barakambasile2651
    @barakambasile2651 День назад

    Huna jipya rema acha mwamba awatumikie wananchi utabaki kutukana bila hoja ya maana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @HumphreyNyiti
      @HumphreyNyiti День назад

      Eti rema spelling yako tu inaonyesha ww ni nani na ni mteja wa nn

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq День назад

    Hawa ccm kiukweli imekataliwa na mungu hii imejidhihilisha pale wanainchi wanalia na ugumu wa maisha kiongozi mkuu wa inchi anasema et ameziba masikio kama chura hii ni dharau Kwa wapiga kura

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 День назад

    Toa CCM madarakañi period!!

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @omarymtomaye9075
    @omarymtomaye9075 День назад

    Hatari sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s День назад

    Monduli ni wa kurudi tena

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s День назад

    Hali ni mbaya

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s День назад

    Kwa ccm wananchi wanakula mawe ya nchi na sio mema ya nchi

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s День назад

    Sijui vijana wa tanzania wakoje ni legelege sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s День назад

    Watu wa mswakini, naitolia, naiti, saburi, esilalei wajiandae kuhamishwa.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s День назад

    Monduli hawajengi ila viongozi hawahangaiki ni wilaya ambayo ccm unapumzika ili kusubiri kushinda uchaguzi.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s День назад

    Kamanda lema leo kuna nini stadium .

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s День назад

    Waache kuhongwa kwa nyama hawa ndugu zangu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s День назад

    Wanaandaa wasichokitumia kwa watoto ya wenzao.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s День назад

    Hawa ndugu zangu waache tabia ya kukubali kununuliwa kwa nyama

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ День назад

      Asante Kwa Kutufuatilia