![ICON TV TZ](/img/default-banner.jpg)
- Видео 8 745
- Просмотров 24 654 660
ICON TV TZ
Танзания
Добавлен 7 мар 2016
KWA HABARI ZOTE ZA BURUDANI,SIASA NA MICHEZO UTAZIPATA KUPITIA HAPA,KWA TAARIFA ZAIDI WASILIANA NASI KUPITIA NAMBA HII 0652 474774
DUUH!! MBOWE AJITOA MUHANGA,AMVAA VIKALI RAIS SAMIA/AINGILIA KATI MGOMO WA WAFANYABIASHARA KARIAKOO
DUUH!! MBOWE AJITOA MUHANGA,AMVAA VIKALI RAIS SAMIA/AINGILIA KATI MGOMO WA WAFANYABIASHARA KARIAKOO
Просмотров: 587
Видео
🔴LIVE: BALAA MBOWE NA LEMA WAITEKA MANYARA TAZAMA MASHAMBULIZI HAYA MAZITO WALIYOYAFANYA MINJINGU
Просмотров 67120 часов назад
🔴LIVE: BALAA MBOWE NA LEMA WAITEKA MANYARA TAZAMA MASHAMBULIZI HAYA MAZITO WALIYOYAFANYA MINJINGU
WAFANYAKAZI YA MAPOKEZI WAONGOZA KUJICHUBUA KMC/TAFITI ZABAINI ASILIMIA 54 YA WANAWAKE WANAJICHUBUA
Просмотров 6522 часа назад
WAFANYAKAZI YA MAPOKEZI WAONGOZA KUJICHUBUA KMC/TAFITI ZABAINI ASILIMIA 54 YA WANAWAKE WANAJICHUBUA
MGOMO WAFANYABIASHARA KARIAKOO MWENYEKITI CHADEMA ALIYEKAMATWA NA POLISI AFUNGUKA BAADA YA KUACHIWA
Просмотров 27723 часа назад
Mara baada ya kukaa mahabusu kwa takribani siku moja,Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Njomnbe Rose Mayemba ameeleza sababu ya kukamatwa kwake ambapo amesema Polisi wamemuleza kuwa amefanya taharuki kwa kuandika taarifa za uongo kwenye mtandao wa kijamii wa X (Twitter) juu ya taarifa ambayo ilidaiwa kuwa ni ya wafanyabiashara kuhusu mgomo uliofanyika siku Jumatat...
BUNGE LATIKISIKA MGOMO WA WAFANYABIASHARA KARIAKOO,MBUNGE MSUKUMA AOMBA MUONGOZO
Просмотров 1182 часа назад
BUNGE LATIKISIKA MGOMO WA WAFANYABIASHARA KARIAKOO,MBUNGE MSUKUMA AOMBA MUONGOZO
BAADA YA WAFANYABIASHARA KUGOMA KARIAKOO WAVUVI MWANZA WAIBUKA NA JAMBO HILI MAZITO
Просмотров 3022 часа назад
BAADA YA WAFANYABIASHARA KUGOMA KARIAKOO WAVUVI MWANZA WAIBUKA NA JAMBO HILI MAZITO
"Serikali Inachua MIKOPO Ya KAUSHA DAMU,WAZIRI Wa FEDHA Anadanganya,BAJAETI Inawaua WATANZANIA"-Kiza
Просмотров 2742 часа назад
"Serikali Inachua MIKOPO Ya KAUSHA DAMU,WAZIRI Wa FEDHA Anadanganya,BAJAETI Inawaua WATANZANIA"-Kiza
DUUH!! HALI SIO SHWARI KARIAKOO,WAFANYABIASHARA WAGOMA KUFUNGUA MADUKA,RC CHALAMILA ATOA TAMKO ZITO
Просмотров 2712 часа назад
DUUH!! HALI SIO SHWARI KARIAKOO,WAFANYABIASHARA WAGOMA KUFUNGUA MADUKA,RC CHALAMILA ATOA TAMKO ZITO
TUKIO LA KUTISHA DEREVA WA MAROLI MTANZANIA ALIYETAKA KUULIWA NCHINI KONGO ASIMULIA MAZITO
Просмотров 2032 часа назад
TUKIO LA KUTISHA DEREVA WA MAROLI MTANZANIA ALIYETAKA KUULIWA NCHINI KONGO ASIMULIA MAZITO
HAWA NDIO WATAKAORITHI MIKOBA YA MAREHEMU MZEE MREMA/VIJANA WAJITOKEZA
Просмотров 614 часа назад
HAWA NDIO WATAKAORITHI MIKOBA YA MAREHEMU MZEE MREMA/VIJANA WAJITOKEZA
FAHAMU MAGONJWA HAYA TISHIO/MAMILIONI YA WATU HUFARIKI KILA MWAKA
Просмотров 164 часа назад
FAHAMU MAGONJWA HAYA TISHIO/MAMILIONI YA WATU HUFARIKI KILA MWAKA
DUUH!! KIGOGO ACT WAZALENDO AJILIPUA AMKOSOA VIKALI RAIS SAMIA/ASEMA NCHI INAOZWA KWA MIKOPO
Просмотров 3247 часов назад
DUUH!! KIGOGO ACT WAZALENDO AJILIPUA AMKOSOA VIKALI RAIS SAMIA/ASEMA NCHI INAOZWA KWA MIKOPO
TAZAMA OPERESHENI HII NZITO ILIYOFANYIKA LEO DAR ES SALAAM/MAAGIZO YA RAIS SAMIA YADAIWA KUPUUZWA
Просмотров 1,6 тыс.9 часов назад
TAZAMA OPERESHENI HII NZITO ILIYOFANYIKA LEO DAR ES SALAAM/MAAGIZO YA RAIS SAMIA YADAIWA KUPUUZWA
NI UPENDO TAZAMA DC KINONDONI ALIVYOTOA KADI ZA BIMA YA AFYA KWA WALEMAVU
Просмотров 669 часов назад
NI UPENDO TAZAMA DC KINONDONI ALIVYOTOA KADI ZA BIMA YA AFYA KWA WALEMAVU
SHEIKH KUNDECHA AJILIPUA AMWAMBIA MANENO HAYA MAZITO RAIS SAMIA/AMUOMBA ASIWASIKILIZE WANASIASA HAWA
Просмотров 1,2 тыс.9 часов назад
SHEIKH KUNDECHA AJILIPUA AMWAMBIA MANENO HAYA MAZITO RAIS SAMIA/AMUOMBA ASIWASIKILIZE WANASIASA HAWA
MASHEIKH WATOA TAMKO NZITO SAKATA LA DC UBUNGO KUWAKAMATA MAKAHABA SINZA NA KUVAMIA MADANGURO
Просмотров 1,8 тыс.9 часов назад
MASHEIKH WATOA TAMKO NZITO SAKATA LA DC UBUNGO KUWAKAMATA MAKAHABA SINZA NA KUVAMIA MADANGURO
TUHUMA NZITO ZINAZOMKABILI ASKOFU MWINGIRA/WAKILI WAKE ATOA UFAFANUZI HUU
Просмотров 8 тыс.12 часов назад
TUHUMA NZITO ZINAZOMKABILI ASKOFU MWINGIRA/WAKILI WAKE ATOA UFAFANUZI HUU
MSAKO MKALI WA WAGANGA WA KIENYEJI DSM'HAKUNA MGANGA ATAKAYENITISHA NITASHAFISHA WOTE"RC DSM
Просмотров 41912 часов назад
MSAKO MKALI WA WAGANGA WA KIENYEJI DSM'HAKUNA MGANGA ATAKAYENITISHA NITASHAFISHA WOTE"RC DSM
WADAIWA SUGU WA MAEGESHO YA MAGARI BINAFSI,DALADALA WAPEWA SIKU 5/BAADA YA HAPO SIJUII.......
Просмотров 13412 часов назад
WADAIWA SUGU WA MAEGESHO YA MAGARI BINAFSI,DALADALA WAPEWA SIKU 5/BAADA YA HAPO SIJUII.......
TAARIFA KUBWA KUHUSU UFUGAJI WA NYUKI/TAZAMA VIKUNDI VINAVYONEEMEKA
Просмотров 6612 часов назад
TAARIFA KUBWA KUHUSU UFUGAJI WA NYUKI/TAZAMA VIKUNDI VINAVYONEEMEKA
DUUH!! MUNGU NI MKUBWA JAMANI TAZAMA MAAJABU YA MTOTO MLEMAVU ANAYETUMIA KICHWA KUANDIKA
Просмотров 16712 часов назад
DUUH!! MUNGU NI MKUBWA JAMANI TAZAMA MAAJABU YA MTOTO MLEMAVU ANAYETUMIA KICHWA KUANDIKA
MKUU WA WILAYA AJITOA MUHANGA KUZUIA WIZI HUU MKUBWA UNAOFANYIKA/ATANGAZA OPERESHENI HII NZITO
Просмотров 32012 часов назад
MKUU WA WILAYA AJITOA MUHANGA KUZUIA WIZI HUU MKUBWA UNAOFANYIKA/ATANGAZA OPERESHENI HII NZITO
RC CHALAMILA AWALIPUA VIBAYA WANAOWATETEA MAKAHABA WALIOKAMATWA SINZA/ADAI WAMEJIDHALILISHA WENYEWE
Просмотров 36012 часов назад
RC CHALAMILA AWALIPUA VIBAYA WANAOWATETEA MAKAHABA WALIOKAMATWA SINZA/ADAI WAMEJIDHALILISHA WENYEWE
BAADA YA ALBINO KUULIWA BUKOBA WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO MAZITO KWA JESHI LA POLISI NA WAKUU WA MIKOA
Просмотров 18712 часов назад
BAADA YA ALBINO KUULIWA BUKOBA WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO MAZITO KWA JESHI LA POLISI NA WAKUU WA MIKOA
MANENO MAKALI ALIYOYATOA ESTER BULAYA YAMSTUA WAZIRI MWIGULU/HASHINDWA KUVUMILIA
Просмотров 20712 часов назад
MANENO MAKALI ALIYOYATOA ESTER BULAYA YAMSTUA WAZIRI MWIGULU/HASHINDWA KUVUMILIA
DUUH!! SHEIKH PONDA ASABABISHA HILI BALAA ZITO KIGOGO UPINZANI AMPOPOA VIBAYA "WANAPOTOSHA UMMA"
Просмотров 58414 часов назад
DUUH!! SHEIKH PONDA ASABABISHA HILI BALAA ZITO KIGOGO UPINZANI AMPOPOA VIBAYA "WANAPOTOSHA UMMA"
HALI YAZIDI KUWA MBAYA KWA MBUNGE MPINA/AWASHIWA MOTO HUU MZITO LEO
Просмотров 34314 часов назад
HALI YAZIDI KUWA MBAYA KWA MBUNGE MPINA/AWASHIWA MOTO HUU MZITO LEO
AIBU HII JAMANI NSSF YAWAONDOA WADAIWA SUGU KATIKA NYUMBA ZAO KIJICHI/TAZAMA VITU VILIVYOTOLEWA NJE
Просмотров 2,8 тыс.14 часов назад
AIBU HII JAMANI NSSF YAWAONDOA WADAIWA SUGU KATIKA NYUMBA ZAO KIJICHI/TAZAMA VITU VILIVYOTOLEWA NJE
VURUGU KUBWA!! MAFUNDI WATISHIA KUBOMOA MAJENGO HAYA YA SERIKALI/WASEMA WANAIDAI SERIKALI
Просмотров 1,4 тыс.16 часов назад
VURUGU KUBWA!! MAFUNDI WATISHIA KUBOMOA MAJENGO HAYA YA SERIKALI/WASEMA WANAIDAI SERIKALI
BAADA YA SHEIKH PONDA KUMKOSOA RAIS SAMIA SHEIKH MWENGINE ATOA HOTUBA HII NZITO KWENYE BARAZA LA EID
Просмотров 2,4 тыс.16 часов назад
BAADA YA SHEIKH PONDA KUMKOSOA RAIS SAMIA SHEIKH MWENGINE ATOA HOTUBA HII NZITO KWENYE BARAZA LA EID
Wanasiasa hawa viongozi wakuu wanayafanya haya yote kwa makusudi kabisa sio kwamba hawajui kuwa wananchi wao kuwa wanashida maisha ni magumu ila wao ndo wanatupangia tuishi kwa staili waipendayo wao
Hapo ndo umezingua watz hawajafanya uchaguz kuchagua awamu ya sita yeye kakaimu awamu ya tano, ukiamua kuwa mkwel bac sema ukweli najua umepitia maswaibu mengi labda ndio yanayokunyongonyesha, mungu akutie nguvu ubaki nasimamo wako uc kubali kuyumbishwa hakika itabak alama co leo2 mpaka kesho
Pole sana dadangu
Lema ni sawa na mhubiri wa kidini anayejiira mtumishi kumbe tapeli
Eti watu wanahali mbaya,ila familia zenu wana hali nzuri
Yani waziri slaaa sina neno zaidi mungu akubariki nakuombea miaka 10000 kwa kutenda haki Huna zulma
Asante Kwa Kutufuatilia
Yaani hapo wakili unamtetea mteja wako awe ana kosa au hanakosa.
Asante Kwa Kutufuatilia
Nafikiri kwa Sasa wajinga wengi nikaribu wataelewa.
Asante Kwa Kutufuatilia
Mpaka nauli ya treni wameweka kama ya kwao
Asante Kwa Kutufuatilia
Cheramila alikosea,tunamkumbuka Manji alitoa ajira kwa vijana wa tanzania alinunua mbaazi.jamani Charamila umekosea.
Huyu si mtu wa kupasuka pasuka tu kama porpcorn, hafikiriagi anayoongea utafhani wafanyabiashara ni watoto wake
Asante Kwa Kutufuatilia
Ujinga ni mtaji wa ccm
Asante Kwa Kutufuatilia
BLESSED LEMA IS TALKIG TO MASS
Asante Kwa Kutufuatilia
Tanzania inawatu waoga na ndio mana tunaliwa
Asante Kwa Kutufuatilia
Huku kwetu.majitu yanalaana sana ni wachache wanaelewa
Asante Kwa Kutufuatilia
Wahusika wamesikia
Asante Kwa Kutufuatilia
Shekh Ponda kwa kweli hali ya maisha ya watu huku mtaani ni mbaya sana na ufisadi na rushwa ndivyo vilivyo shamiri kwa sasa
Asante Kwa Kutufuatilia
Thubutu !!! Mbomoeni huyo aliyewaajiri!
Asante Kwa Kutufuatilia
tulieni wananchi, Mbunge wenu anamshughulikia mpina bungen 😂😂😂😂
Asante Kwa Kutufuatilia
Ni aibu aibu! Sasa hivi bunge, Serikali hawako serious na mambo ya nchi. Ushahidi wote uliotolewa na Mpina wabunge wanaona sio serious issue kwao wanabwabwaja na kudharauliwa kwa Spika. Kwa kweli wabunge wamekula mpaka wamevimbiwa.
Asante Kwa Kutufuatilia
Ponda hujakatazwa kulima ,usitegemee mimi nilime kwa gharama kisha serikali inipangie bei ndogo
Asante Kwa Kutufuatilia
Mh upo sawa mungu akubariki
Asante Kwa Kutufuatilia
Kiukweli nchi inahitaji mtu mwenye kifua na mwenye ufahamu mpana,.Tuko hoi nchi hii.
Asante Kwa Kutufuatilia
Uungwe mkono kwa taarifa hii inchi ni ya wote viongozi wengi hawana huruma na raia hasa inchi za kiafrika watakuja uliza na mungu tu wawo wanaishi kama wapopeponi wananchi kama wapojahanam tuhurumiane ndugu zangu wote watz
Asante Kwa Kutufuatilia
Sheikhe zungumza Uongozi wa MSAHAFU tu, usituzonge.
Asante Kwa Kutufuatilia
Mbon husikikii shehe
Asante Kwa Kutufuatilia
😂😂😂😂 kwanza watu walio hapo sijui ni 20 duh alafu viongozi wakubwa wa chama wote wapo 😂😂😂😂
Jitu moja wewe akili zimehamia chini
Akili za boga
Asante Kwa Kutufuatilia
Wewe acha ujinga hawamu ya 6 inapiga kazi kubwa San pia usiongee kuhusu makonda wewe Wana Arusha wanakuona kishaa
Asante Kwa Kutufuatilia
Mungu akuweke shekhr❤🎉
Asante Kwa Kutufuatilia
Mungu akuweke shekhr❤🎉
Asante Kwa Kutufuatilia
Mungu akuweke shekhr
Asante Kwa Kutufuatilia
Mungu akuweke shekhr
Asante Kwa Kutufuatilia
Mungu akuweke shekhr
Asante Kwa Kutufuatilia
Tuko pamoja shekhe wangu Allah azidi kujuongoza amina
Asante Kwa Kutufuatilia
Huyu jamaa kwa wanao kumbuka wakati anaongea na REPOA , Rais wa awamu 1 ya nchi hii JKN ,tunanukuu Kabila (Baba) asilipe madeni ya congo sababu hakukopa yeye ni mobutu , chuma kikaibuka swali sasa mbona mkapa analipa madeni na hatujui yalikuwa kwa ajili gani.? palikuwa hapatoshi ...........tafuta cd zipo.
Asante Kwa Kutufuatilia
Watanzania wapo fofo
Asante Kwa Kutufuatilia
Lema ukipewa ubunge utaweza?,Ccm miaka 40 tena.Hama huko na unaushawishi wa matusi kwa jamii.
Asante Kwa Kutufuatilia
Huna jipya rema acha mwamba awatumikie wananchi utabaki kutukana bila hoja ya maana
Asante Kwa Kutufuatilia
Eti rema spelling yako tu inaonyesha ww ni nani na ni mteja wa nn
Hawa ccm kiukweli imekataliwa na mungu hii imejidhihilisha pale wanainchi wanalia na ugumu wa maisha kiongozi mkuu wa inchi anasema et ameziba masikio kama chura hii ni dharau Kwa wapiga kura
Asante Kwa Kutufuatilia
Toa CCM madarakañi period!!
Asante Kwa Kutufuatilia
Hatari sana
Asante Kwa Kutufuatilia
Monduli ni wa kurudi tena
Asante Kwa Kutufuatilia
Hali ni mbaya
Asante Kwa Kutufuatilia
Kwa ccm wananchi wanakula mawe ya nchi na sio mema ya nchi
Asante Kwa Kutufuatilia
Sijui vijana wa tanzania wakoje ni legelege sana
Asante Kwa Kutufuatilia
Watu wa mswakini, naitolia, naiti, saburi, esilalei wajiandae kuhamishwa.
Asante Kwa Kutufuatilia
Monduli hawajengi ila viongozi hawahangaiki ni wilaya ambayo ccm unapumzika ili kusubiri kushinda uchaguzi.
Asante Kwa Kutufuatilia
Kamanda lema leo kuna nini stadium .
Asante Kwa Kutufuatilia
Waache kuhongwa kwa nyama hawa ndugu zangu
Asante Kwa Kutufuatilia
Wanaandaa wasichokitumia kwa watoto ya wenzao.
Asante Kwa Kutufuatilia
Hawa ndugu zangu waache tabia ya kukubali kununuliwa kwa nyama
Asante Kwa Kutufuatilia